Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Wilaya ya Songwe

Wilaya ya Songwe
Mahali paWilaya ya Songwe
Mahali paWilaya ya Songwe
Mahali pa wilaya katika Mkoa wa Songwe
Majiranukta: 8°25′26″S 33°01′44″E / 8.4238°S 33.0290°E / -8.4238; 33.0290
Mkoa Mkoa wa Songwe
Eneo
 - Jumla 16,070 km²
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 229,129
Tovuti:  http://www.songwedc.go.tz

Wilaya ya Songwe ni wilaya mojawapo kati ya 5 za mkoa wa Songwe, nchini Tanzania, yenye postikodi namba 54100 [1].

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 229,219 [2].

Katika wilaya ya Songwe maeneo maarufu ni Mkwajuni ambako ndio makao makuu ya wilaya.

Saza ni eneo maarufu kwa uchimbaji wa madini na kuna mgodi wa Shanta Gold Mine, Kanga, Mbangala.

  1. "Nakala iliyohifadhiwa" (PDF). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 2020-04-06. Iliwekwa mnamo 2018-01-06.
  2. https://www.nbs.go.tz

Previous Page Next Page






Songwe (Distrikt) German Περιοχή Σόνγκουε Greek Songwe District English Songwe District ZU

Responsive image

Responsive image