Wilaya ya Uyui ni wilaya mojawapo kati ya 8 za Mkoa wa Tabora yenye postikodi namba 45200.
Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, wilaya hii ilikuwa na wakazi wapatao 396,623 waishio humo.[1] Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 562,588[2].
Makabila yanayopatikana huko ni Wanyamwezi, Wangindo, Wasukuma, Watutsi, Waha na Wanyiramba.