Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Xalapa

Mji wa Xalapa
Jiji la Xalapa
Nchi Mexiko
Jimbo Veracruz
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 387,879
Tovuti:  www.xalapa.gob.mx

Xalapa (pia: La ciudad de las flores; Kiswahili: mji wa maua) ni mji mkuu katika jimbo la Veracruz. Ni mji mkubwa wa pili jimboni baada ya mji mkubwa Veracruz. Idadi ya wakazi ni 387,879.

Mji ulianzishwa na Wahispania mnamo 1772.

Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Xalapa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Previous Page Next Page






خالابا Arabic جالابا ARZ Халапа-Энрыкес BE Халапа (Веракрус) Bulgarian Xalapa-Enríquez Catalan Xalapa de Enríquez CEB خالاپا CKB Xalapa Czech Xalapa Danish Xalapa German

Responsive image

Responsive image