Ahmedabad

Ahmedabad
Nchi Uhindi
Jimbo / Mkoa Gujarat
Anwani ya kijiografia 23.03,72.58
Kimo mita 53
Eneo 8,087 km2
Wakazi 7,486,573 (2,014)
Msongamano wa watu 12,000/km2
Simu 079

Ahmedabad ni jiji kubwa katika jimbo la Gujarat kwenye magharibi ya Uhindi, pia ni makao makuu ya mkoa wa Ahmedabad. Ilikuwa mji mkuu wa Gujarat tangu mwaka 1960 hadi 1970.[1] Jiji liko kwenye ufuko wa mto Sabarmati[2]n a kupakana na mji mkuu mpya Gandhinagar.

Eneo la jiji ni kama km28,087 na mkoa wote una wakazi 7,486,573 (2014), ilhali mji wenyewe una wakazi 6,357,693.[3]

  1. "Incredible India | Gujarat". www.incredibleindia.org. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-08-24. Iliwekwa mnamo 2019-08-24. {{cite web}}: More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help)
  2. Kumar, Rita. N.; Solanki, Rajal; J.I, Nirmal Kumar (2011). "AN ASSESSMENT OF SEASONAL VARIATION AND WATER QUALITY INDEX OF SABARMATI RIVER AND KHARICUT CANAL AT AHMEDABAD, GUJARAT" (PDF). EJEAFChe. 10 (5). eISSN 2248-2261. ISSN 1579-4377.
  3. "About Ahmedabad | About Us | Collectorate - District Ahmedabad". ahmedabad.gujarat.gov.in. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-08-24. Iliwekwa mnamo 2019-08-24. {{cite web}}: More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help)

Ahmedabad

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne