Nchi | Uhindi |
Jimbo / Mkoa | Gujarat |
Anwani ya kijiografia | 23.03,72.58 |
Kimo | mita 53 |
Eneo | 8,087 km2 |
Wakazi | 7,486,573 (2,014) |
Msongamano wa watu | 12,000/km2 |
Simu | 079 |
Ahmedabad ni jiji kubwa katika jimbo la Gujarat kwenye magharibi ya Uhindi, pia ni makao makuu ya mkoa wa Ahmedabad. Ilikuwa mji mkuu wa Gujarat tangu mwaka 1960 hadi 1970.[1] Jiji liko kwenye ufuko wa mto Sabarmati[2]n a kupakana na mji mkuu mpya Gandhinagar.
Eneo la jiji ni kama km28,087 na mkoa wote una wakazi 7,486,573 (2014), ilhali mji wenyewe una wakazi 6,357,693.[3]
{{cite web}}
: More than one of |accessdate=
na |access-date=
specified (help)
{{cite web}}
: More than one of |accessdate=
na |access-date=
specified (help)