Amiba

"Amiba jitu", Chaos carolinense.

Amiba (kutoka Kiingereza "amoeba"[1]) ni jamii ya vijidudu vidogo sana visivyoonekana kwa macho ambavyo huishi kwenye maji na kwenye udongo, lakini pia katika mwili wa viumbehai wengine, vikisababisha pengine maradhi mbalimbali.

  1. "amoeba" Ilihifadhiwa 22 Novemba 2015 kwenye Wayback Machine. at Oxforddictionaries.com

Amiba

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne