Augusto alikuwa Kaisari wa kwanza wa Dola la Roma kuanzia mwaka 27 KK hadi 14 BK. Jina lake la kiraia lilikuwa Gaius Octavius. Alizaliwa Italia tarehe 23 Septemba 63 KK.
Octavius alikuwa mpwa wa Dikteta Julius Caesar aliyempenda kijana huyo kama baba yake wa kambo na kumteua kama mrithi katika wasia wake.
Historia ya Augusto ina vipindi viwili: