Austin, Texas

Ziwa la Lady bird Lililopo katika mji wa Austin
Austin
Austin is located in Marekani
Austin
Austin

Mahali pa mji wa Austin katika Marekani

Majiranukta: 30°18′2″N 97°44′50″W / 30.30056°N 97.74722°W / 30.30056; -97.74722
Nchi Marekani
Jimbo Texas
Wilaya Travis
Williamson
Hays
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 743,074
Tovuti:  http://www.ci.austin.tx.us/

Austin ndiyo mji mkuu katika jimbo la Texas. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2007, mji una wakazi wapatao milioni 1.7 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 149 kutoka juu ya usawa wa bahari.


Austin, Texas

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne