Bahari ya Aegean

39°N 25°E / 39°N 25°E / 39; 25

Bahari ya Aegean.

Bahari ya Aegean (pia: Aegeis; tamka a-e-ge-is) ni moja kati ya sehemu za Bahari ya Mediteranea. Ipo kati ya Ugiriki na Anatolia (Uturuki).

Kupitia mlangobahari wa Dardaneli imeungana na Bahari ya Marmara, Bosporus na Bahari Nyeusi.


Bahari ya Aegean

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne