39°N 25°E / 39°N 25°E / 39; 25
Bahari ya Aegean (pia: Aegeis; tamka a-e-ge-is) ni moja kati ya sehemu za Bahari ya Mediteranea. Ipo kati ya Ugiriki na Anatolia (Uturuki).
Kupitia mlangobahari wa Dardaneli imeungana na Bahari ya Marmara, Bosporus na Bahari Nyeusi.
Bahari ya Aegean