Bangui

Mji wa Bangui, Afrika ya kati
Jiji la Bangui
Nchi Jamhuri ya Afrika ya Kati
Mkoa Bangui Autonomous Commune
Bangui katika Jamhuri ya Afrika ya Kati
Bangui inavyoonekana kutoka angani

Bangui ina wakazi 531 763[1] ni mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati. Mji uko mwambanoni wa mto Ubangi ng'ambo ya mto uko mji wa Zongo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Kuna viwanda mjini vya nguo, vyakula, bira, viatu na sabuni. Bishara ya nje inalenga wateja wa pamba, ubao, kahawa na katani.

  1. Statoids, Central African Republic (2003) (Kiingereza)

Bangui

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne