Soko la Pamoja la Mashariki na Kusini mwa Afrika (kwa Kiingereza: Common Market for Eastern and Southern Africa, kifupi: COMESA), ni eneo la upendeleo wa biashara lililo na wanachama kumi na tisa walionyooka kutoka Libya hadi Zimbabwe.
COMESA ni mojawapo ya nguzo muhimu za Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika.