Jamhuri ya Cabo Verde | |
---|---|
República de Cabo Verde (Kireno) | |
Kaulimbiu ya taifa: Unidade, Trabalho, Progresso (Kireno) "Umoja, Kazi, Maendeleo" | |
Wimbo wa taifa: Cântico da Liberdade (Kireno) "Mkarara wa Uhuru" | |
![]() Mahali pa Cabo Verde | |
![]() Ramani ya Cabo Verde | |
Mji mkuu na mkubwa nchini | Praia |
Lugha rasmi | Kireno Kikaboverde |
Serikali | Jamhuri |
• Rais • Waziri Mkuu | José Maria Neves Ulisses Correia e Silva |
Eneo | |
• Eneo la jumla | km2 4 033[1] |
Idadi ya watu | |
• Kadirio la 2023 | 603 901[1] |
Pato la taifa | Kadirio la 2023 |
• Jumla | ![]() |
• Kwa kila mtu | ![]() |
Pato halisi la taifa | Kadirio la 2023 |
• Jumla | ![]() |
• Kwa kila mtu | ![]() |
Maendeleo (2021) | ![]() |
Sarafu | Escudo ya Cabo Verde |
Cabo Verde (Kiingereza: Cape Verde) ni nchi ya visiwa katika bahari ya Atlantiki mbele ya pwani ya Afrika ya Magharibi.
Umbali wake na Senegal ni km 460.
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link) (Archived 2023 edition)
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
{{cite book}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)