Chama cha Jamhuri cha Marekani (kwa Kiingereza “Republican Party” au "Grand Old Party") ni chama cha kisiasa nchini Marekani.
Ni kimoja kati ya vyama viwili vya kisiasa vinavyoongoza siasa ya Marekani tangu karne ya 20 kikishindana na Chama cha Kidemokrasia katika mfumo wa vyama viwili.