Chunya (wilaya)

Mahali pa Chunya (kijani cheusi) katika mkoa wa Mbeya.

Wilaya ya Chunya ni wilaya mojawapo kati ya 7 za Mkoa wa Mbeya.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 206,615 [1]. Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 344,471 [2].

  1. "Tanzania.go.tz/census". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2004-03-18. Iliwekwa mnamo 2004-03-18.
  2. https://www.nbs.go.tz

Chunya (wilaya)

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne