Chuo Kikuu cha Addis Ababa

Chuo Kikuu cha Addis Ababa
Addis Ababa University
Kimeanzishwa1950
RaisAndreas Eshete
MahaliAddis Ababa, Ethiopia
Tovutihttp://www.aau.edu.et/

Chuo Kikuu cha Addis Ababa ni chuo kikuu nchini Ethiopia. Awali iilijulikana kwa jina "Chuo na Chuo Kikuu cha Addis Ababa" katika uanzilishi chake, kisha kikabadilishwa jina kwa ajili ya kaizari wa Ethiopia Haile Selassie I mwaka 1962, na kupokea jina linalotumika leo hii mwaka wa 1975.

Ingawa chuo hiki kina kampasi sita kati ya saba ambazo ziko ndani ya Addis Ababa (ya saba iko katika Debre Zeit, takriban kilomita 45 mbali), inao pia matawi katika miji mingi kote Ethiopia, kudaiwa kuwa "chuo kikuu kubwa katika Afrika. " Serikali huwatuma wanafunzi waliohitimu katika vyuo vikuu hivi baada ya kukamilisha sekondari. Wanafunzi pia huhudhuria vyuo binafsi, kama vile Chuo Kikuu cha Umoja. Mwandishi na mnadharia Richard Cummings aliwahi kuwa mwanachama wa Kitivo cha Sheria.

Taasisi zinazohusika ni pamoja na Taasisi ya Utafiti wa Ethiopia, iliyoanzishwa na Richard Pankhurst.


Chuo Kikuu cha Addis Ababa

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne