Kwa nyota angalia hapa Chura (nyota)
Chura
|
Chura-mafunjo (Hyperolius viridiflavus)
|
Uainishaji wa kisayansi
|
Himaya:
|
Animalia (Wanyama)
|
Faila:
|
Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
|
Kladi:
|
Craniata (Wanyama wenye fuvu)
|
Nusufaila:
|
Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
|
Ngeli ya juu:
|
Tetrapoda (Wanyama wenye miguu minne)
|
Ngeli:
|
Amphibia (Wanyama wanaoanza maisha kwenye maji na kuendelea nchi kavu)
|
Nusungeli:
|
Lissamphibia (Amfibia waliopo bado)
|
Oda:
|
Anura (Vyura)
|
|
Ngazi za chini
|
Nusuoda 3:
|
Vyura ni wanyama wa ngeli Amphibia wanaoanza maisha yao ndani ya maji na baada ya kupita metamofosi wanaendelea kuishi kwenye nchi kavu, isipokuwa vyura-kucha ambao huishi majini maisha yao yote.