David Livingstone

David Livingstone.
Henry Morton Stanley akikutana na David Livingstone huko Ujiji.
Sanamu ya Livingstone huko Victoria Falls (Zimbabwe).

David Livingstone (19 Machi 18134 Mei 1873) alikuwa mmisionari na mpelelezi kutoka Uskoti katika Afrika ya kusini na kati.

Alijulikana kwa jitihada zake za kupambana na biashara ya watumwa na safari za kati ya Afrika ya Kusini na Tanganyika hadi Kongo.


David Livingstone

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne