Douala

Sanamu ya Uhuru jijini Douala.
Douala katika ramani ya Kamerun.

Douala ni mji mkubwa wa Kamerun ukiwa na wakazi 1,338,082 (2021[1]).

Uko kilometa 24 kutoka bahari kwenye mdomo mpana wa mto Wouri unaokomea kwenye Ghuba ya Guinea ya Atlantiki. Bandari yake inaifanya kuwa kitovu cha uchumi wa Kamerun.

Wakati wa ukoloni wa Kijerumani ulikuwa mji mkuu wa Kamerun hadi mwaka 1907.

  1. "Kamerun". GEO Names. Iliwekwa mnamo Mei 23, 2021.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

Douala

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne