Elimu nchini Cote d'Ivoire

Watoto darasani huko mjini Abidjan

Elimu nchini Côte d'Ivoire inaendelea kukabiliwa na changamoto nyingi. Kiwango cha wanaojua kusoma na kuandika kwa watu wazima bado kipo chini: mnamo 2000, ilikadiriwa kwamba 48.7% ya jumla ya wakazi wanajua kusoma na kuandika (60.8% ya wanaume na 38.6% ya wasichana). [1] Watoto waliowengi kati ya miaka 6 na 10 hawajaandikishwa shule. [2] Idadi kubwa ya wanafunzi wa elimu ya sekondari ni wanaume.[3] Mwishoni mwa elimu ya sekondari, wanafunzi wanakaa na kufanya mtihani wa mwisho (Baccalauréat).[3] Nchi ina vyuo vikuu mjini Abidjan (Université de Cocody) na huko Bouaké, (Université de Bouaké).

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-11-24. Iliwekwa mnamo 2012-02-25.
  2. "Earthtrends.wri.org" (PDF). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 2011-05-11. Iliwekwa mnamo 2010-12-06.
  3. 3.0 3.1 "Côte d'Ivoire – Secondary Education". Education.stateuniversity.com. Iliwekwa mnamo 2010-06-20.

Elimu nchini Cote d'Ivoire

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne