Gatundu

Gatundu
Nchi Kenya
Kaunti Kaunti ya Kiambu
Wilaya Wilaya ya Gatundu
Eneo bunge Gatundu Kusini
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 20,000 (haijahakikishwa)
Mji wa Gatundu

Gatundu ni mji uliopo eneo la kati la Kenya katika Kaunti ya Kiambu. Mji huu una umaarufu kwa kuwa rais wa kwanza wa Kenya, Jomo Kenyatta na mwana wake rais Uhuru Kenyatta, waliishi karibu na hapa. Unapatikana juu ya kilima kilichozingirwa na Mto Thiririka na Mto Muthurumbi.


Gatundu

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne