Jamhuri ya Gine ya Ikweta | |
---|---|
República de Guinea Ecuatorial (Kihispania) République de Guinée équatoriale (Kifaransa) República da Guiné Equatorial (Kireno) | |
Kaulimbiu ya taifa: Unidad, Paz, Justicia (Kihispania) "Umoja, Amani, Haki" | |
Wimbo wa taifa: Caminemos pisando las sendas de nuestra inmensa felicidad (Kihispania) "Tutembee tukifuata njia za furaha yetu kubwa" | |
Mahali pa Gine ya Ikweta | |
Ramani ya Gine ya Ikweta | |
Mji mkuu | Malabo |
Mji mkubwa nchini | Bata |
Lugha rasmi | Kihispania Kifaransa Kireno |
Serikali | Udikteta |
• Rais | Teodoro Obiang |
Eneo | |
• Eneo la jumla | km2 28 050[1] |
Idadi ya watu | |
• Kadirio la 2023 | 1 737 695[1] |
Pato la taifa | Kadirio la 2023 |
• Jumla | USD bilioni 10.041[2] |
• Kwa kila mtu | USD 6 502[2] |
Pato halisi la taifa | Kadirio la 2023 |
• Jumla | USD bilioni 28.356[2] |
• Kwa kila mtu | USD 18 362[2] |
Maendeleo (2021) | 0.596[3] - wastani |
Sarafu | Faranga ya CFA |
Majira ya saa | UTC+1 |
Msimbo wa simu | +240 |
Msimbo wa ISO 3166 | GQ |
Jina la kikoa | .gq |
Gine ya Ikweta (pia: Ginekweta), kirasmi Jamhuri ya Gine ya Ikweta, ni nchi mojawapo ndogo ya Afrika iliyopo upande wa magharibi wa Afrika ya Kati.
Imepakana na Kamerun upande wa kaskazini, Gabon upande wa kusini na mashariki, na Ghuba ya Gine upande wa magharibi, ambapo visiwa vya São Tomé na Príncipe vinapatikana kusini-magharibi mwa Guinea ya Ikweta.
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link) (Archived 2023 edition)
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)