Guinea (kanda)

--Kwa maana mbalimbali za neno Guinea angalia Guinea (maana)--
Ramani ya Kiingereza ya Afrika ya Magharibi, mnamo mwaka 1736

Guinea ni jina la kihistoria kwa ajili ya kanda ya kusini ya Afrika ya Magharibi kati ya jangwa Sahara na Atlantiki. Nchi zote kuanzia Senegal hadi kaskazini ya Angola zilihesabiwa kuwa "Guinea". Waandishi wa Ulaya walitofautisha "Guinea ya Juu" (Senegal hadi Kamerun) na "Guinea ya Chini" (Kamerun hadi Angola).


Guinea (kanda)

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne