Bendera ya Zanzibar | |
Lugha ya Taifa | Kiswahili |
Mji Mkuu | Zanzibar |
Rais | Hussein Ali Mwinyi |
Eneo | km² 2.654 |
Wakazi | 1,303,569 |
Dini | Waislamu takriban 96-99%, Wakristo, Wahindu |
Uhuru | Kutoka Uingereza 19.12.1963, Mapinduzi 12.01.1964 |
Fedha | TSh |
Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ingawa inajitawala katika mambo ya ndani.
Hadi mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964 nchi hiyo ilijulikana kama Usultani wa Zanzibar.