Kikinga

Kikinga ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Wakinga. Mwaka wa 2003 idadi ya wasemaji wa Kikinga imehesabiwa kuwa watu 140,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kikinga iko katika kundi la G60.


Kikinga

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne