Kikisi-Kaskazini

Kikisi-Kaskazini ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Guinea na Sierra Leone inayozungumzwa na Wakissi. Lugha nyingine ya Kikisi ni Kikisi-Kusini nchini Liberia. Lugha hizo mbili zisichanganywe na lugha ya Kikisi nchini Tanzania. Mwaka wa 1991 idadi ya wasemaji wa Kikisi-Kusini nchini Guinea imehesabiwa kuwa watu 287,000. Pia kuna wasemaji 40,000 nchini Sierra Leone. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kikisi-Kaskazini iko katika kundi la Kiatlantiki.


Kikisi-Kaskazini

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne