Kipare (Tanzania)

Kipare (pia huitwa Chasu) ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Wapare. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kipare imehesabiwa kuwa watu 500,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kipare iko katika kundi la G20.


Kipare (Tanzania)

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne