Kisiwa cha Bawe

Kisiwa cha Bawe ni kisiwa kidogo kimojawapo cha funguvisiwa la Zanzibar (Tanzania) ambacho kinapatikana katika Bahari ya Hindi. Kipo takriban kilomita 10 (maili 6.2) baharini kutoka Stone Town, mji mkuu wa Zanzibar kwenye kisiwa cha Unguja.

Hakina wakazi ila kinatembelewa na watalii kikiwa chini ya Mkoa wa Unguja Mjini Magharibi[1].

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-07-10. Iliwekwa mnamo 2019-02-09.

Kisiwa cha Bawe

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne