Kisiwa cha Chole

Kisiwa cha Chole ni kisiwa kidogo kwenye funguvisiwa la Mafia ambayo ni sehemu ya mkoa wa Pwani, nchini Tanzania, ambacho kinapatikana katika Bahari ya Hindi.

Kisiwa kina eneo la takriban kilomita ya mraba 1. Kuna kijiji kimoja cha Chole chenye vitongoji vya Mwapepo, Mnyange na Kilimani ambacho ni sehemu ya kata ya Jibondo.


Kisiwa cha Chole

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne