Kongo ya Kibelgiji

Bendera ya Kongo ya Kibelgiji

Kongo ya Kibelgiji ni jina la koloni la Ubelgiji katika Afrika ya Kati hasa katika beseni ya mto Kongo kati ya mwaka 1908 hadi 1960.

Leo hii ni Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Katika miaka 1925 hadi 1946 maeneo ya Rwanda na Burundi yalitawaliwa kama sehemu za Kongo ya Kibelgiji.


Kongo ya Kibelgiji

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne