Lava

Kwa matumizi mengine ya jina hili angalia lava (volkeno)

Lava wa kipepeo Papilio xuthus.

Lava (kutoka neno la Kiingereza larva ambalo lina asili ya Kilatini; pia bombwe) ni mtoto wa mdudu au wa mmojawapo wa invertebrata, amfibia au samaki katika hatua za awali za ukuaji wake.

Lava wa wadudu kadhaa wana majina ya pekee:

Kuna pia amfibia wanaopita hali ya lava. [[Ndubwi au kiluwiluwi ni lava wa chura.

Lava wa spishi mbalimbali huendelea kupitia hali ya pupa kabla ya kuendelea katika ngazi ya mwisho wa mabadiliko ya maumbile metafofosi.


Lava

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne