Leopold Sedar Senghor

Léopold Sédar Senghor


Rais wa kwanza wa Senegal
Muda wa Utawala
6 Septemba 1960 – 31 Disemba 1980
Waziri Mkuu Abdou Diouf
mtangulizi Office created
aliyemfuata Abdou Diouf

tarehe ya kuzaliwa (1906-10-09)9 Oktoba 1906
Joal, Afrika ya Magharibi ya Kifaransa (leo Senegal)
tarehe ya kufa 20 Desemba 2001 (umri 95)
Verson, Ufaransa
chama Chama cha Kisoshalisti cha Senegal
ndoa Ginette Éboué (1946-1956)
Colette Hubert Senghor (m. 1957–2001) «start: (1957)–end+1: (2002)»"Marriage: Colette Hubert Senghor to Leopold Sedar Senghor" Location: (linkback://sw.wikipedia.orgview_html.php?sq=crain_ford&lang=sw&q=Leopold_Sedar_Senghor);hadi kifo
mhitimu wa Chuo Kikuu cha Paris
dini Kanisa Katoliki
signature

Léopold Sédar Senghor (9 Oktoba 190620 Desemba 2001) alikuwa mshairi, mwanasiasa na hatimaye rais wa kwanza wa Senegal kati ya miaka 1960 na 1980.

Senghor alikuwa Mwafrika wa kwanza aliyechaguliwa kuwa mwanachama wa Académie française. Kabla ya uhuru wa nchi yake aliunda chama cha Umoja wa Kidemokrasia wa Senegal (kwa Kifaransa: Bloc démocratique sénégalais; kwa Kiingereza: Senegalese Democratic Bloc). Wengi wanamhesabu kati ya wataalamu Waafrika muhimu zaidi katika karne ya 20.


Leopold Sedar Senghor

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne