Maandamano

Maandamano ya kifalme
Maandamano ya mazishi, mchoro mdogo wa karne ya 15, British Museum.
Wakleri Waorthodoksi wa Ethiopia wakiongoza maandamano ya Mt. Mikaeli Malaika Mkuu.

Maandamano (kutoka kitenzi "andaa" kilichonyambuliwa kwa viambishi -ma- na -na-; kwa Kiingereza procession, kutoka Kilatini processio, pia cortege) ni kundi la watu wanaotembea pamoja kwa utaratibu maalumu.

Yametumika nyakati zote na mahali pote kwa ajili ya ibada, siasa n.k. inavyoonekana k.mf. katika michoro mingi ya zamani, hasa ya mazishi na ya kushangilia ushindi vitani.

Siku hizi yanafanyika pia kwa kutoa hoja na kudai haki.


Maandamano

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne