Maseru ni mji mkuu wa Lesotho ikiwa na wakazi 174.000 Einwohner (2003). Chuo Kikuu cha Lesotho na kiwanja cha kimataifa cha ndege ni karibu na mji. Maseru iko kwa mto Caledon (Mohokare). Ni mji mkubwa wa pekee nchini.
Maseru