Maseru

Jiji la Maseru
Nchi Lesotho
Barabara kuu ya kuelekea kusini ya Maseru
Maseru katika Lesotho

Maseru ni mji mkuu wa Lesotho ikiwa na wakazi 174.000 Einwohner (2003). Chuo Kikuu cha Lesotho na kiwanja cha kimataifa cha ndege ni karibu na mji. Maseru iko kwa mto Caledon (Mohokare). Ni mji mkubwa wa pekee nchini.


Maseru

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne