Mbabane ni mji mkuu wa Eswatini ikiwa na wakazi 70,000 (2003). Ofisi za serikali ziko huko lakini bunge na jumba la mfalme yako mjini Lobamba.
Mji uko kwenye milima ya Mdimba kwenye kimo cha mita 1200 juu ya UB.
Mbabane