Mizizi ya dhambi

Hieronymus Bosch alivyochora Mizizi Saba ya Dhambi na Vikomo Vinne.
Vilema vikuu

Mizizi ya dhambi, au vilema vikuu au vichwa vya dhambi ni orodha ya maovu ambayo tangu zamani za mababu wa Kanisa[1] katika maadili ya Ukristo yanahesabiwa kuelekeza binadamu kutenda dhambi nyingine, hata kubwa zaidi. [2]

Kwa kawaida inatajwa kuwa saba,[3] zote zikitokana na umimi usiozingatia ukweli.

  1. Introduction to Paulist Press edition of John Climacus: The Ladder of Divine Ascent by Kallistos Ware, p63.
  2. Katekisimu ya Kanisa Katoliki, n. 1866.
  3. Boyle, Marjorie O'Rourke (1997) [1997-10-23]. "Three: The Flying Serpent". Loyola's Acts: The Rhetoric of the Self. The New Historicism: Studies in Cultural Poetics,. Juz. la 36. Berkeley: University of California Press. ku. 100–146. ISBN 978-0-520-20937-4.

Mizizi ya dhambi

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne