Mjusi-kafiri

Mjusi-kafiri
Nikwata (Hemidactylus frenatus)
Nikwata (Hemidactylus frenatus)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Reptilia (Wanyama wenye damu baridi na magamba ngozini)
Oda: Squamata (Mijusi, mijusi-nyungunyungu na nyoka)
Nusuoda: Lacertilia (Mjusi)
Oda ya chini: Gekkota (Mijusi-kafiri)
Ngazi za chini

Familia 7:

  • Carphodactylidae
  • Diplodactylidae
  • Eublepharidae (Mijusi-kafiri wenye kope)
  • Gekkonidae (Mijusi-kafiri wa kawaida)
  • Phyllodactylidae
  • Pygopodidae (Mijusi-kafiri bila miguu)
  • Sphaerodactylidae

Mijusi-kafiri ni mijusi wa oda ya chini Gekkota wasio na kope (isipokuwa familia Eublepharidae) na wanaokiakia usiku (isipokuwa mijusi-kafiri mchana). Spishi zinazoishi katika nyumba za watu huitwa nikwata pia.

Mijusi hawa ni kundi lenye spishi nyingi kuliko makundi mengine: takriban spishi 1500, nyingi katika Afrika.


Mjusi-kafiri

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne