Mkoa wa Katanga Juu

Mkoa wa Katanga Juu
Haut-Katanga
Mahali paMkoa wa Katanga Juu Haut-Katanga
Mahali paMkoa wa Katanga Juu
Haut-Katanga
Mahali pa Mkoa wa Katanga Juu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Majiranukta: 11°40′S 27°28′E / 11.667°S 27.467°E / -11.667; 27.467
Nchi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Wilaya 6
Mji mkuu Lubumbashi
Serikali
 - Gouverneur
Eneo
 - Jumla 132,425 km²
Idadi ya wakazi (2020)
 - Wakazi kwa ujumla 5,718,800

Mkoa wa Katanga ya Juu ni mmojawapo kati ya mikoa 26 ya kujitawala ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Idadi ya wakazi wake ni takriban 5,718,800.

Mji mkuu ni Lubumbashi.


Mkoa wa Katanga Juu

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne