Mkoa wa Katavi

Mkoa wa Katavi
Mahali paMkoa wa Katavi
Mahali paMkoa wa Katavi
Location in Tanzania
Nchi Tanzania
Kanda Nyanda za Juu ua Kusini
Serikali
 - Mkuu wa Mkoa Rajab Mtumwa
Eneo
 - Jumla 45,843 km²
Idadi ya wakazi (2022)
 - Wakazi kwa ujumla 1,152,958
EAT (UTC+3)
Msimbo wa posta 50xxx
Kodi ya simu 025
Tovuti:  katavi.go.tz

Mkoa wa Katavi ni mmojawapo kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye postikodi namba 50000. Ulianzishwa rasmi mnamo Machi 2012 kwa kumega mkoa wa Rukwa.

Makao makuu yako Mpanda.


Mkoa wa Katavi

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne