Mkoa wa Mbeya

Mkoa wa Mbeya
Mahali paMkoa wa Mbeya
Mahali paMkoa wa Mbeya
Mahali pa Mkoa wa Mbeya katika Tanzania
Majiranukta: 2°45′S 32°45′E / 2.750°S 32.750°E / -2.750; 32.750
Nchi Tanzania
Wilaya 7
Mji mkuu Mbeya
Serikali
 - Mkuu wa Mkoa Juma Zuberi Homera
Eneo
 - Jumla 35,954 km²
Idadi ya wakazi (2022)
 - Wakazi kwa ujumla 2,343,754[1]
Tovuti:  http://www.mbeya.go.tz/

Mkoa wa Mbeya ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania, ukipakana na Zambia na Malawi, halafu na mikoa ya Rukwa, Tabora, Singida na Iringa, mbali na mkoa mpya wa Songwe uliomegwa kutoka ule wa Mbeya upande wa magharibi mwaka 2016.

Una Postikodi namba 53000.

Kabla ya kugawiwa kulikuwa na wilaya 9 zifuatazo: Mbeya Mjini, Mbeya Vijijini, Rungwe, Kyela, Ileje, Mbozi, Chunya, Momba na Mbarali.

Tangu 2016 mkoa umekuwa na wilaya 7 za: Busokelo, Chunya, Kyela, Mbarali, Mbeya Mjini, Mbeya Vijijini na Rungwe.[2]

Kadiri ya sensa ya mwaka 2022 idadi ya wakazi ni 2,343,754 [3].

  1. https://www.nbs.go.tz
  2. Chalamila, Albert (2018). "Mpango Mkakati, 2018-2023" (PDF) (kwa Kiingereza). Mkoa wa Mbeya. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka (PDF) kutoka chanzo mnamo 2022-07-17. {{cite web}}: |archive-date= / |archive-url= timestamp mismatch; 2022-06-17 suggested (help)
  3. https://www.nbs.go.tz

Mkoa wa Mbeya

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne