Mkoa wa Mbeya |
|
Mahali pa Mkoa wa Mbeya katika Tanzania | |
Majiranukta: 2°45′S 32°45′E / 2.750°S 32.750°E | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Wilaya | 7 |
Mji mkuu | Mbeya |
Serikali | |
- Mkuu wa Mkoa | Juma Zuberi Homera |
Eneo | |
- Jumla | 35,954 km² |
Idadi ya wakazi (2022) | |
- Wakazi kwa ujumla | 2,343,754[1] |
Tovuti: http://www.mbeya.go.tz/ |
Mkoa wa Mbeya ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania, ukipakana na Zambia na Malawi, halafu na mikoa ya Rukwa, Tabora, Singida na Iringa, mbali na mkoa mpya wa Songwe uliomegwa kutoka ule wa Mbeya upande wa magharibi mwaka 2016.
Una Postikodi namba 53000.
Kabla ya kugawiwa kulikuwa na wilaya 9 zifuatazo: Mbeya Mjini, Mbeya Vijijini, Rungwe, Kyela, Ileje, Mbozi, Chunya, Momba na Mbarali.
Tangu 2016 mkoa umekuwa na wilaya 7 za: Busokelo, Chunya, Kyela, Mbarali, Mbeya Mjini, Mbeya Vijijini na Rungwe.[2]
Kadiri ya sensa ya mwaka 2022 idadi ya wakazi ni 2,343,754 [3].
{{cite web}}
: |archive-date=
/ |archive-url=
timestamp mismatch; 2022-06-17 suggested (help)