Mkoa wa Songwe

Mkoa wa Songwe
Mahali paMkoa wa Songwe
Mahali paMkoa wa Songwe
Majiranukta: 2°45′S 32°45′E / 2.750°S 32.750°E / -2.750; 32.750
Nchi Tanzania
Wilaya
Mji mkuu Vwawa
Serikali
 - Mkuu wa Mkoa
Eneo
 - Jumla 26,595 km²
 - Kavu 25,534 km² 
 - Maji 1,061 km² 
Idadi ya wakazi (2022)
 - Wakazi kwa ujumla 1,344,687 [1].
Tovuti:  http://www.songwe.go.tz/

Mkoa wa Songwe ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania yenye postikodi namba 54100 ukiwa umemegwa kutoka ule wa Mbeya mwaka 2016.[2]

Jina la mkoa limetokana na lile la mto Songwe.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 1,035,214 [3].

Makao makuu yako Vwawa.

Mkoa huu una halmashauri za[4]: 8 

  1. https://www.nbs.go.tz
  2. "Uchapishaji wa orodha ya Postikodi". Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). 2016. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-07-29.
  3. https://www.nbs.go.tz
  4. Mwangela, Nicodemas E. (2019). "SONGWE REGION INVESTMENT GUIDE" (PDF). United Nations Development Programme (UNDP) (kwa Kiingereza). Mkoa wa Songwe. ISBN 978-9987-664-01-6. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 2022-06-21. {{cite journal}}: Unknown parameter |dead-url= ignored (|url-status= suggested) (help)

Mkoa wa Songwe

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne