Mkoa wa Tanganyika

Mkoa wa Tanganyika
Mahali paMkoa wa Tanganyika
Mahali paMkoa wa Tanganyika
Mahali pa Mkoa wa Tanganyika katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Majiranukta: 05°56′S 29°12′E / 5.933°S 29.200°E / -5.933; 29.200
Nchi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Wilaya 6
Mji mkuu Kalemie
Serikali
 - Gouverneur
Eneo
 - Jumla 134,940 km²
Idadi ya wakazi (2015)
 - Wakazi kwa ujumla 3,062,000

Mkoa wa Tanganyika ni mmojawapo kati ya mikoa 26 ya kujitawala ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Uko upande wa Mashariki wa nchi likipakana na nchi ya Tanzania na Ziwa la Tanganyika.

Idadi ya wakazi wake ni takriban 3,062,000.

Mji wake mkuu ni Kalemie.


Mkoa wa Tanganyika

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne