Northwest Territories (pia:Territoires du Nord-Ouest) ni eneo kubwa la Kanada upande wa kaskazini ya nchi. Imepakana na Nunavut, Alberta, Saskatchewan, British Kolumbia na Yukon.
Northwest Territories lina wakazi wapatao 42,940 (2009) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 1,346,106.
Yellowknife ni mji mkuu na mji mkubwa.
Kuna lugha rasmi 11: