Radoni | |
---|---|
mizingo elektroni ya atomi ya radoni
| |
Jina la Elementi | Radoni |
Alama | Rn |
Namba atomia | 86 |
Mfululizo safu | Gesi adimu |
Uzani atomia | 222 |
Ugumu (Mohs) | {{{ugumu}}} |
Kiwango cha kuyeyuka | (202 K (−71.15 °C) |
Kiwango cha kuchemka | 211.3 K (−61.85 °C) |
Asilimia za ganda la dunia | 6 · 10-16 % |
Hali maada | gesi |
Radoni (kut. kilatini "radius" (mshale) kwa sababu ya unururifu wake) ni elementi yenye namba atomia 86 na uzani wa atomi 222. Alama yake ni Rn.