Salerno

Mji wa Salerno


Salerno
Majiranukta: 40°41′00″N 14°56′00″E / 40.68333°N 14.93333°E / 40.68333; 14.93333
Nchi Italia
Mkoa Campania
Wilaya Salerno
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 146,045
Tovuti:  www.comune.salerno.it

Salerno ni mji wa Italia katika mkoa wa Campania.

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao 150,000.

Mji upo mita 4 juu ya usawa wa bahari na ni maarufu kwa chuo kikuu cha utabibu ambacho ni kati ya vyuo vikuu vya zamani zaidi duniani.


Salerno

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne