Sardinia

Bendera ya Sardinia.
Bendera ya Sardinia.
Sardinia kutoka angani.
Wilaya za Sardinia kihistoria.

Sardinia (kwa Kiitalia: Sardegna) ni kisiwa kikubwa cha pili katika bahari ya Mediteranea chenye eneo la km² 23,821.

Pamoja na visiwa vidogo vya karibu ni mkoa wenye katiba ya pekee wa Italia. Kwa sasa umegawanyika katika wilaya 8, lakini mwaka 2012 wananchi walipiga kura ya kuzifuta.

Kuna wakazi milioni 1.663 (2015).

Mji mkuu ni Cagliari.


Sardinia

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne