| |||||
Kaulimbiu ya taifa: Un Peuple, Un But, Une Foi (Kifaransa: Taifa moja, Lengo moja, Imani moja) | |||||
Wimbo wa taifa: Pincez Tous vos Koras, Frappez les Balafons' | |||||
![]() | |||||
Mji mkuu | Dakar | ||||
Mji mkubwa nchini | Dakar | ||||
Lugha rasmi | Kifaransa | ||||
Serikali | Jamhuri Macky Sall Sidiki Kaba | ||||
Uhuru kutoka Ufaransa |
20 Juni 1960 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
196,712 km² (ya 87) {{{percent_water}}} | ||||
Idadi ya watu - 2023 kadirio - 2015 sensa - Msongamano wa watu |
18,384,660 (ya 66) 13,508,715 93.3/km² (134) | ||||
Fedha | CFA Franc ({{{currency_code}}} )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
UTC (UTC+0) (UTC) | ||||
Intaneti TLD | .sn | ||||
Kodi ya simu | +221
- |
Senegal (pia Senegali) ni nchi ya Afrika ya Magharibi iliyopo upande wa kusini wa mto Senegal.
Imepakana na Mauritania upande wa kaskazini, Mali upande wa mashariki, Guinea na Guinea-Bisau kusini na Bahari Atlantiki upande wa magharibi.
Nchi ya Gambia inazungukwa na eneo la Senegal isipokuwa upande wa bahari.
Visiwa vya Cabo Verde viko km 560 mbele ya pwani ya Senegal.