| |||||
Kaulimbiu ya taifa: Unity - Freedom - Justice (Umoja, Uhuru, Haki) | |||||
Wimbo wa taifa: High We Exalt Thee, Realm of the Free (Twakusifu nchi ya watu huru) | |||||
Mji mkuu | Freetown | ||||
Mji mkubwa nchini | Freetown | ||||
Lugha rasmi | Kiingereza | ||||
Serikali | Jamhuri Julius Maada Bio | ||||
Uhuru kutoka Uingereza |
27 Aprili 1961 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
71,740 km² (ya 119) 1.1 | ||||
Idadi ya watu - Julai 2023 kadirio - 2000 sensa - Msongamano wa watu |
8,909,040 (ya 100 1) 5,426,618 112/km² (ya 114 1) | ||||
Fedha | Leone (SLL )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
GMT (UTC+0) (UTC) | ||||
Intaneti TLD | .sl | ||||
Kodi ya simu | +232
- |
Sierra Leone ni nchi ya Afrika ya Magharibi.
Imepakana na Guinea na Liberia, upande wa magharibi iko bahari ya Atlantiki.
Jina la nchi lina asili ya Kireno na linamaanisha "Mlima wa Simba".
Ni koloni la zamani la Uingereza na tangu 27 Aprili 1961 ni jamhuri huru.
Sierra Leone ni kati ya nchi maskini sana duniani.