Stani (stannum; kiing. tin) | |
---|---|
Vipande vya stani
| |
Jina la Elementi | Stani (stannum; kiing. tin) |
Alama | Sn |
Namba atomia | 50 |
Mfululizo safu | Metali |
Uzani atomia | 118.710 |
Valensi | 2, 8, 18, 18, 4 |
Densiti | 7.31 g/cm³ |
Ugumu (Mohs) | {{{ugumu}}} |
Kiwango cha kuyeyuka | 505.08 K (231.93 °C) |
Kiwango cha kuchemka | 2875 K (2602 °C) |
Asilimia za ganda la dunia | 3 · 10-3 % |
Hali maada | mango |
Mengineyo | Stani kwa mazingira ya wastani ina alotropi mbili au maumbo mawili yaani stani nyeupe na stani kijivu |
Stani (ing. tin) ni elementi. Namba atomia yake ni 50 kwenye mfumo radidia na uzani atomia ni 118.710. Jina ni neno la kilatini stannum kwa metali hii.
Ni metali laini sana yenye rangi ya kifedha-kijivu. Huyeyuka mapema kwenye kiwango cha halijoto cha 505 °C. Hupatikana hasa kama oksidi katika mitapo.