Texas | |||
| |||
Nchi | Marekani | ||
---|---|---|---|
Mji mkuu | Austin | ||
Eneo | |||
- Jumla | 695,621 km² | ||
- Kavu | 678,051 km² | ||
- Maji | 17,570 km² | ||
Tovuti: http://www.texasonline.gov/ |
Texas ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Idadi ya wakazi wa jimbo lote hufikia watu 24,326,974 (2008) wanaokalia eneo la 696,241 km² ambalo ni hasa milima na jangwa. Upande wa mashariki ni maji ya ghuba ya Meksiko. Mji mkuu wa jimbo ni Austin na mji mukubwa jimboni ni Houston. Imepakana na Oklahoma, Arkansas, Louisiana, New Mexico (Meksiko Mpya) na nchi ya Meksiko (Chihuahua, Coahuila, Nuevo León na Tamaulipas).