Tokyo

Mji wa Tokyo
Jiji la Tokyo
Nchi Japani
Kanda Kantō
Mkoa Tokyo
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 12,976,698
Tovuti:  www.tokyo.jp
Bendera ya Tokyo
Bendera ya Tokyo
Mahali pa Tokyo katika Japani
Shibuya
Marunouchi
Idadi ya wakazi

Jiji la Tokyo (東京都) ni mji mkuu wa Japani. Takriban watu milioni 12 huishi katika jiji hilo ambao ni sawa 10% ya Wajapani wote. Rundiko la mji lina wakazi milioni 35 na ni rundiko kubwa duniani.

Tokyo ni kitovu cha Japani upande wa biashara, uchumi na siasa.

Mahali pa jiji ni tambarare ya Kanto kando ya hori ya Tokyo.


Tokyo

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne