Tuvalu
|
||||||
---|---|---|---|---|---|---|
Wito: Tuvalu mo te Atua (Kituvalu) "Tuvalu kwa ajili ya Mwenyezi Mungu" |
||||||
Wimbo wa taifa: Tuvalu mo te Atua | ||||||
Mji Mkuu | Vaiaku (kijiji), Fongafale (kisiwa), Funafuti (atolli) 8°31′S 179°13′E / 8.517°S 179.217°E | |||||
Mji mkubwa | -- | |||||
Official languages | Kituvalu, Kiingereza | |||||
Government | Ufalme wa kikatiba | |||||
Independence | ||||||
- | Maji (%) | (kidogo sana) | ||||
Idadi ya watu | ||||||
- | 2017 Sensa | 11,192 | ||||
Pato la Taifa PPP | makisio 2001 | |||||
- | Jumla | $12.2 million (ya 228) | ||||
- | Per capita | $1,100 (2000 est.) (unranked) | ||||
HDI (2003) | 0.641 medium ·n/a |
|||||
Currency | Dollar ya Tuvalu Dollar ya Australia ( AUD ) |
|||||
Saa za eneo | (UTC+12) | |||||
Calling code | 688 | |||||
Internet TLD | .tv |
Tuvalu ni nchi ya visiwa katika eneo la Polynesia ya Oceania katika Bahari ya Pasifiki, takriban katikati ya Hawaii na Australia. Inapatikana mashariki-kaskazini mwa Visiwa vya Santa Cruz (ambavyo vinamilikiwa na Visiwa vya Solomon), kaskazini-mashariki mwa Vanuatu, kusini-mashariki mwa Nauru, kusini mwa Kiribati, magharibi mwa Tokelau, kaskazini-magharibi mwa Samoa na Wallis na Futuna, na kaskazini mwa Fiji.
Jina la Tuvalu lamaanisha "visiwa vinane" kwa sababu kiasili kulikuwa na visiwa 8 tu vilivyokaliwa na watu. Kisiwa cha tisa kimepata wakazi tangu mwaka 1943.